Maharage yaliyochaguliwa na kupakiwa pia yanapatikana kwa 2100 kwa kilo. Ukichukua ni kwenda kuosha na kupika tu. Karibuni sana Reme Nafaka Supplier
MCHELE ULIOCHAGULIWA KABISA, NA KUPAKIWA PIA UNAPATIKANA....Yaan ukichukua ni kwenda kuosha na kupika tu.... Utaupata kwa shilingi 1800 kwa kilo Au mwingine kwa 2000 kwa kilo. Karibuni sanaaa.
A very chosen rice, and uploaded you are also available.... so if you take it is going to wash and cook....Sembe bora kabisa......800/= kwa kilo..au 18,500/= kwa kilo 25.
Very best sembe...... 25. /= per kg.. or 18,500 /= per 800 kgTranslatedMafuta Alizeti Pure ( Halisi)........... Kwa Lita 5- 18,000/= Kwa Lita 3- 11,000/=
Oil Alizeti Pure (real)...........Maharage safi kabisa....Kuanzia kilo 5 bei ni 1800/=
Very clean beans.... From 5 kg, the price is 1800 /=TranslatedBidhaa zilizo bora....
Best products....TranslatedKaribuni....
Welcome....TranslatedKwa mahitaji ya mchele, unga, maharage, mafuta ya alizeti Karibu tukuhudumie kwa bei nafuu kabisa Tupo Morogoro, Bigwa makapu chini, old Dar salam road....